By Rev. Omega kipemba
Pilot Verse: Matthew 28:19 - 20.
Rev. Omega Kipemba and his Wife (His Interpreter/Translator) Preaching the Word of God during the First Service at ICC
God Bless You!
The following pictures were taken during the service.
Random Posts
Saturday, 15 August 2015
Sunday, 9 August 2015
USHIRIKA WA WANAUME WA KIKRISTO (CMF) ICC LUGALO WAONESHA USHIRIKA KIVITENDO
Shalom!
CMF ni kifupisho cha maneno ya kiingereza Christian Men's Fellowship, kwa kiswahili ni Ushirika wa Wanaume wa Kikristo, Ushirika huu ni Idara ya Wanaume wa Kanisa la T.A.G kama zilivyo Idara zingine, mfano Wanawake (WWK) na Vijana (CA's).
Neno Kuu la Ushirika wa Wanaume (CMF) linatoka katika Kitabu cha Habakuki 3:2; na Dua ya Ushirika ni "..Ee Bwana Fufua kazi yako katikati ya miaka.."
Ushirika wa CMF ulianzishwa kwa nia ya kutimiza makusudi matano ya Kanisa la T.A.G ambayo ni:
1. Kuabudu;
2. Ushirika;
3. Kujengana;
4. Utumishi;
5. Uinjilisti.
CMF ICC haipo nyuma katika kutimiza makusudi hayo, ni mengi ambayo CMF ICC tumefanya. Jumamosi wiki hii 08/08/2015 Wana CMF ICC tuliamua kuwa na mtoko Maalumu wa kwenda kutafuna mbuzi na mengineyo. Tulkwenda sehemu tuliiivu mbali na Kanisa kwetu ICC Lugalo ili kwenda kudumisha Ushirika wetu. Tulitafuna nyama ya mbuzi na kunywa soda, juice na maji. Tukajadiliana mengi yanayotuhusu Wanaume, ya kiroho na ya kimwili pia. Naamini muda si mrefu, CMF ICC Lugalo, itakuwa mfano mzuri wa kuigwa, kwa Kanisa, Mkoa, na Taifa letu. It's just matter of time; God is with us, who can be against us!!???
Mungu Awabariki wote mlioshiriki na kufanikisha mtoko huu. Zifuatazo ni baadhi ya picha za mtoko huo.
CMF ni kifupisho cha maneno ya kiingereza Christian Men's Fellowship, kwa kiswahili ni Ushirika wa Wanaume wa Kikristo, Ushirika huu ni Idara ya Wanaume wa Kanisa la T.A.G kama zilivyo Idara zingine, mfano Wanawake (WWK) na Vijana (CA's).
Neno Kuu la Ushirika wa Wanaume (CMF) linatoka katika Kitabu cha Habakuki 3:2; na Dua ya Ushirika ni "..Ee Bwana Fufua kazi yako katikati ya miaka.."
Ushirika wa CMF ulianzishwa kwa nia ya kutimiza makusudi matano ya Kanisa la T.A.G ambayo ni:
1. Kuabudu;
2. Ushirika;
3. Kujengana;
4. Utumishi;
5. Uinjilisti.
CMF ICC haipo nyuma katika kutimiza makusudi hayo, ni mengi ambayo CMF ICC tumefanya. Jumamosi wiki hii 08/08/2015 Wana CMF ICC tuliamua kuwa na mtoko Maalumu wa kwenda kutafuna mbuzi na mengineyo. Tulkwenda sehemu tuliiivu mbali na Kanisa kwetu ICC Lugalo ili kwenda kudumisha Ushirika wetu. Tulitafuna nyama ya mbuzi na kunywa soda, juice na maji. Tukajadiliana mengi yanayotuhusu Wanaume, ya kiroho na ya kimwili pia. Naamini muda si mrefu, CMF ICC Lugalo, itakuwa mfano mzuri wa kuigwa, kwa Kanisa, Mkoa, na Taifa letu. It's just matter of time; God is with us, who can be against us!!???
Mungu Awabariki wote mlioshiriki na kufanikisha mtoko huu. Zifuatazo ni baadhi ya picha za mtoko huo.
Thursday, 6 August 2015
MTOKO MAALUMU WA WANAUME (CMF) ICC 08/08/2015
Shalom!
Ushirika wa Wanaume wa Kikristo (CMF) ICC, baada ya kuwa na ziara kadhaa za kutembelea Wanaushirika (Wanaume) wa ICC; sasa imeandaa mtoko maalumu siku ya Jumamosi 08/08/2015.
Ziara ya Ushirika wa Wanaume wa Kikristo (CMF) ICC Lugalo, Nyumbani kwa Mzee Kiongozi wa Kanisa; Mh. Mwl. Given Lemway, ambaye alifiwa na Mama yake Mzazi.
Ziara ya Ushirika wa Wanaume wa Kikristo (CMF) ICC Lugalo, Nyumbani kwa Mchungaji Mwanafunzi; Mch. Omega Kipemba, ambaye alifiwa na Baba yake Mzazi.
Ziara ya Ushirika wa Wanaume wa Kikristo (CMF) ICC Lugalo, Nyumbani kwa Ndg. Eliud Tati ambaye amefunga ndoa hivi karibuni
Baada ya ziara hizo, Ushirika wa Wanaume wa kikristo ICC tumepanga kuwa na Tukio Maalumu kwa Wanaume wote. Tumepanga kuwa na muda mzuri wa kubadilishana mawazo, kuburudika with Nyamachoma na vinywaji.
Mwenyekiti na Katibu wa CMF ICC pamoja na mwana CMF walipotembelea eneo la tukio kabla ya siku ya Tukio
Mtoko huu utafanyika siku ya Jumamosi (08/08/2015) eneo la Igingilanyi kwa mchango mdogo tu wa Tsh. 10,000/-. Safari itaanzia Kanisani ICC Lugalo saa Sita kamili Mchana.
Matukio Makuu:
> Neno la Mungu
> Kuongea (Kubadilishana mawazo)
> Kula na Kunywa
> Mengineyo
Pamoja Tunaweza: Thibitisha ushiriki wako kwa namba zifuatazo
0755930595/0788992963/0767362042. Tafadhali usipange kukosa, Mjulishe na mwenzako.
Mungu Akubariki.
Zifuatazo ni picha za Wajumbe waliotembelea eneo litapofanyika tukio au mtoko huu.
USIPANGE KUKOSAA!!
Ushirika wa Wanaume wa Kikristo (CMF) ICC, baada ya kuwa na ziara kadhaa za kutembelea Wanaushirika (Wanaume) wa ICC; sasa imeandaa mtoko maalumu siku ya Jumamosi 08/08/2015.
Ziara ya Ushirika wa Wanaume wa Kikristo (CMF) ICC Lugalo, Nyumbani kwa Mzee Kiongozi wa Kanisa; Mh. Mwl. Given Lemway, ambaye alifiwa na Mama yake Mzazi.
Ziara ya Ushirika wa Wanaume wa Kikristo (CMF) ICC Lugalo, Nyumbani kwa Mchungaji Mwanafunzi; Mch. Omega Kipemba, ambaye alifiwa na Baba yake Mzazi.
Ziara ya Ushirika wa Wanaume wa Kikristo (CMF) ICC Lugalo, Nyumbani kwa Ndg. Eliud Tati ambaye amefunga ndoa hivi karibuni
Baada ya ziara hizo, Ushirika wa Wanaume wa kikristo ICC tumepanga kuwa na Tukio Maalumu kwa Wanaume wote. Tumepanga kuwa na muda mzuri wa kubadilishana mawazo, kuburudika with Nyamachoma na vinywaji.
Mwenyekiti na Katibu wa CMF ICC pamoja na mwana CMF walipotembelea eneo la tukio kabla ya siku ya Tukio
Mtoko huu utafanyika siku ya Jumamosi (08/08/2015) eneo la Igingilanyi kwa mchango mdogo tu wa Tsh. 10,000/-. Safari itaanzia Kanisani ICC Lugalo saa Sita kamili Mchana.
Matukio Makuu:
> Neno la Mungu
> Kuongea (Kubadilishana mawazo)
> Kula na Kunywa
> Mengineyo
Pamoja Tunaweza: Thibitisha ushiriki wako kwa namba zifuatazo
0755930595/0788992963/0767362042. Tafadhali usipange kukosa, Mjulishe na mwenzako.
Mungu Akubariki.
Zifuatazo ni picha za Wajumbe waliotembelea eneo litapofanyika tukio au mtoko huu.
USIPANGE KUKOSAA!!
Subscribe to:
Posts (Atom)



























